Sam Allardyce ametangazwa rasmi kuwa meneja mpya wa timu ya taifa ya England. Allardyce, ajulikanaye sana kama Big Sam, ametia saini m...
ARSENE WENGER AWAPA JEURI MASHABIKI WA ARSENAL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ameweka mkazo kwamba yupo tayari kutumia pesa kusajili mchezaji sahihi ambaye ni anaweza kufiti kw...
HIGUAIN Afanyiwa vipimo vya Afya Juve.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Gonzalo Higuain amehusishwa kufanya vipimo vya afya kabla ya kukubaliana na klabu ya Juventus ya nchini Italia maslahi ya mkataba wake k...
David Moyes Kuchukua nafasi ya Big Sam.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
David Moyes ametangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Sunderland. Moyes 53, aliwahi kuzifundisha timu kama vile Everton pamoj...
Ratiba ya Uefa mtoano yakamilika
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Timu za Astra Giurgiu, Olympiacos, Viktoria Plzeň, Celtic na Dinamo Zagreb zimetinga Raundi ya 3 ya Mtoano ya UEFA , baada ya kukamilika ...
Akina KANAVARO Sio kizazi cha Kesho
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wakati timu ya taifa ya Wales ikiwashangaza mashabiki wa mpira wa miguu kwa kufanya vyema katika mashindano yaanyoendelea nchini Ufaransa...
Mkwasa Kutangaza Kikosi Jumanne.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa Julai 26, 2016 anatarajia kutangaza kikosi kwa aji...
Mbwana Samatta Kuifungia Timu Yake Penati Muhimu.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Katika mchezo huo uliomalizika kwa Genk kufungwa bao 2-0, ilibidi umauliwe kwa mikwaju ya penati baada ya dakika 30 za nyongeza kumalizik...
Julian Lopetegui kocha mpya Hispania
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Shirikisho la Soka la Hispania limemteua Julian Lopetegui kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo akichukua nafasi ya Vicente del B...
CUF Yapata Mdhamini Mwingine.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) limepata mdhamini mpya baada ya kumalizika kwa mkataba wake na kampuni ya mawasiliano ya Orange....
Waendesha mashtaka wakata rufaa hukumu ya Pistorius
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini wanasema watakata rufaa kwa mara nyingine tena kupinga hukumu wanayoielezea kama hafifu mno alipop...
Yanga Kuwafuata Medeama ya Nchini Ghana Kwa Mchezo Wa Marudiano.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga wanatarajia kuondoka jijini Dar es salaam kwenda Ghana mwishoni mwa wiki hii kuwafuata wapinzani wao...
Safari ya Pep Guardiola Kuelekea Nchi ya Maziwa na Asali.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Jana Pep Guardiola amenza rasmi kuonja ladha ya kusimama katika benchi la Manchester City kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Bayern Mun...
Marefa Wakabidhiwa Madaraka Mikonon EPL.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hatimaye mikakati ya kupunguza tabia zisizovumilika kwa wachezaji na mameneja katika soka la Uingereza umetangwazwa rasmi Katika taarifa ...
Fernando Santos Ajifunga Kitanzi Mpaka 2020.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Chama cha Soka cha Ureno-FPF kimetangaza kumuongeza mkataba kocha Fernando Santos mpaka 2020 baada ya kukiongoza kikosi cha timu ya taif...
Ragnar Klavan Anaswa na Klopp.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Liverpool wamefanikiwa kumnasa beki Ragnar Klavan kutoka klabu ya Augsburg ya Ujerumani kwa mkataba wa miaka mitatu. Klavan (30) amba...
DEMBA BA; Bado anaota kucheza mpira.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Demba Ba amesema hataacha kucheza soka hata baada ya kuvunjika mguu. Ba, ...
Mtibwa Sugar, Mbeya City Kucheza Mechi Ya Kirafiki.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ikiwa ni wakati maridhawa kwa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu Tanzania bara kijifua kabla ya msimu mpya kuanza, Timu kadha wa kadha zi...
PAUL LE GUEN AMEONGEZWA KATIKA BENCHI LA UFUNDI LA SUPER EAGLES.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Paul le Guen ameteuliwa kuwa kama mshauri wa benchi mpya wa timu ya taifa ya Nigeria kufanya kazi pamoja na meneja Salisu Yusuf, ambae ...
Vita Ya Olimpic na Urusi Bado Haijamalizika.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Urusi imekuwa ikiendesha zoezi la kubaini uwepo wa matumizi ya dawa za kusisimua misuli kwa wanamichezo wake ikiwa ni mpango uliodumu k...
ORODHA YA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA ULAYA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016....
Andy Murray, Aanza Maandalizi Ya Kuelekea RIO.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mcheza tenesi namba moja, Mwingereza, Andy Murray amesema hataweza kushiriki katika michuano ya Rogers Cup ambayo itafanyika wiki ijayo m...
Ratiba VPL; SIMBA SC Kufungua Pazia la VPL na NDANDA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
iku chache baada bodi ya VPL kutoa zawadi kwa wachezaji waliofanya vizuri katika msimu wa 2015-2016, ikiwa ni takribani siku moja, ...
Antonio Conte Bado Anamhitaji Juan Cuadrado.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha mpya wa klabu ya Chelsea, Mwitaliano, Antonio Conte amesema, raia wa Colombia, Juan Cuadrado ni sehemu ya malengo yake akiwa kla...
RAJAB ZAHIR, Ajiunga na Mbeya city.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Klbu ya Mbeya City kupitia account yake rasmi ya Instagram, imethibitisha kumsajili Rajab Zahir kutoka mabingwa wa ligi kuu Tanzania bar...
Ligi ya Hispania Kuanza Rasmi tarehe 21.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ligi kuu ya Hispania inatarajiwa kuanza Agosti 21 kwa Mabingwa Watetezi FC Barcelona kucheza na Real Betis na Mabingwa wa Ulaya Real Madr...
Msitoke Bure Yanga, Hata Uzoefu utawafaa sana.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Timu nyingi za Africa ya Mashariki zimekuwa hazina matokeo mazuri mbele ya timu kongwe katika mashindano mbalimbali kama vile kombe l...
Arjen Robben Nje kwa majuma 6.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Winga machachari wa kimataifa, anayekipiga katika klabu ya Bayen Munich atakosa mechi za kwanza katika msimu mpya wa 2016-2017, baa...
Ratiba Ya klabu Bingwa ya Dunia Yawekwa Hadharani.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) limetoa Ratiba ya Kombe la Dunia kwa ngazi ya vilabu ambalo litadhaminiw...
Demba BA Avunjika Mguu.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Demba Ba amevunjika mguu akiwa uwanjani katika mechi ya ligi kuu ya Uchina Ra...