
England walitupwa nje katika hatua ya mtoano baada ya kulazwa na timu changa ya Iceland kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1.
Hata hivyo, Walker hakuweka hadharani ni kipi ambacho wamejifunza ila ameishia kusema wamejifunza kitu kikubwa ambacho kitawasaidia katika siku za usoni.
Post a Comment