SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: Mashindano ya Rogers Cup Yazidi kushika kasi.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mcheza tenisi nambari moja nchini Wingereza Johana Konta ametinga hatua ya robo fainali ya Rogers Cup yanayoendelea huko nchini Can...

Johanna Konta


Mcheza tenisi nambari moja nchini Wingereza Johana Konta ametinga hatua ya robo fainali ya Rogers Cup yanayoendelea huko nchini Canada baada ya kumshinda kwa jumla ya set 6-3 6-2 Mmarekani Varvara Lepchenko.

Konta mwenye umri wa miaka 25 atachuana na Kristina Kucova mwenye miaka 26 katika hatua ya nusu fainali baada ya raia huyo wa Slovakia kumfunga mwenyeji wa mshindano hayo Eugenue Bouchard kwa jumla ya set 3-6 6-4 6-3.

Mcheza tenisi namba 14 duniani Venus Williams amepoteza mchezo wke dhidi ya Mmarekani mwenzake Madison Keys. Williams 36, aliyepigwa pia na Johana Konta katika fainali za Stanfford Classic, alikubali kichapo cha set 6-1 6-7 (2-7) 6-3.

Na kwa upande wa wanaume, mcheza tenisi namba 1 Novak Djokovic hakuwa na wakati mgumu kuelekea robo fainali baada ya kumfunga Radek Stepanek raia wa jamhuri ya Cheki kwa set 6-2 6-4.
Djokovic, raia wa Serbia sasa atakutana na mcheza tenisi namba 8 Tomas Berdych.


Kipigo cha mwaka huu cha Wembleydon dhidi ya Andy Murray alikuwa na mteremko baada ya kumfunga raia wa Marekani Jared Donaldson 19 kwa set  6-2 6-3
29 Jul 2016

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top