
Infantino alipendekeza kuongezwa kwa timu hizo
kabla ya kuchaguliwa kwake na shirikisho hilo la soka duniani.
Kwa sasa Afrika ina nafasi tano pekee katika michuano
hiyo .
''Pendekezo langu limekuwa timu 40 na iwapo hilo
litaidhinishwa, pendekezo langu ni kulipatia bara la Afrika nafasi mbili
zaidi'', alisema Infantino.
Hata hivyo hatua hiyo itaidhinishwa hadi mwaka 2026
huku timu 32 zikiwa tayari zimethibitishwa kushiriki katika kombe la dunia la
2018 nchini Urusi na 2022 nchini Qatar.
Post a Comment