
Winga machachari wa kimataifa, anayekipiga katika klabu ya
Bayen Munich atakosa mechi za kwanza katika msimu mpya wa 2016-2017, baada ya
kutupwa nje kwa maumivu ya misuli
inayomsumbua.
Robben, 32, Mholanzi, alikosa miezi miwili ya mwisho wa msimu
uliopita na maumivu yaleyale lakini pia kuweza kusukumwa nje ya kikosi baada ya
kupata majeraha yaleyale.
Katika msimu uliomalizika, Robben amecheza michezo 15 pekee,
na hivyo anatarajiwa kuukosa mchezo wa super cup dhidi ya mahasimu wao klabu ya
Borrusia Dotimund utakaofanyika tarehe 14 ya mwezi agosti.
Mabingwa wa ligi ya Bundasijga, klabu ya Bayen Munich
watacheza mechi yao ya kwanza ya ligi mnamo tarehe 26 mwezi agosti, dhidi ya
klabu ya Werder Blemen
Post a Comment