SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: BANDARI AAHIDI KUUZUIA MOTO WA YANGA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KLABU ya Yanga imetahadharishwa kuwa makini siku watakapokwenda kucheza mechi ya ligi kuu dhidi ya timu ya Ndanda ya Mtwara siku ya ...

Image result for ndanda FC latest images


KLABU ya Yanga imetahadharishwa kuwa makini siku watakapokwenda kucheza mechi ya ligi kuu dhidi ya timu ya Ndanda ya Mtwara siku ya jumatano katika uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Tahadhari hiyo imetolewa na msemaji wa klabu hiyo Idrisa Bandari alipofanya mahojiano na mtandao wa www.charleskunji.blogspot.com  leo asubuhi.

Bandari alinukuliwa akisema,, “Ni lazima tuwaambie ili wajue kwani wanaujua moto w3etu tuwapo kwenye uwanja wa nyumabni” 

“Ukitazama tayari tumeshapoteza michezo miwili, dhidi ya Simba pamoja na ule wa Mtibwa Sugar, hivyo Yanga tunasikitika kusema ni lazima tuendeleze historia yetu ya kuinyima klabu hiyo pointi 3 kwenye uwanja wetu” Alisema.

Pamoja na timu hityo kuwa na uzoefu walioupata kwenye michuano ya kimataifa, hata sisi tumejiandaa pia, kaeni chonjo”\

Kwa upande wa kocha wa klabu ya Yanga, Juma Mwanmbusi amesema ni lazima washinde michezo miwili ili wajihakikishie nafasi ya kufanya vyema kwenye ligi

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top