Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 aliyashinda
mauzo ya Cristiano Ronaldo ya pauni milioni milioni 12.24 na Nani aliyeuzwa kwa
kitita cha pauni milioni 25 kuelekea Manchester United.
Inter bado inaendelea na mazungumzo ya kumsajili
Gabriel Barbosa kutoka Santos.
Kiungo wa katiu Mario aliichezea Sporting mara 171
na kushinda Euro 2016 na Ureno.
Post a Comment