SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: MOURINHO. "USIMSIKILIZE WAKALA, NISIKILIZE MIMI"
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya kuonyesha kiwango cha juu kwenye mechi ya kufunga mwaka dhidi ya Middlesbrough, kocha wa Manchester United, Jose Mourinho, ...


BAADA ya kuonyesha kiwango cha juu kwenye mechi ya kufunga mwaka dhidi ya Middlesbrough, kocha wa Manchester United, Jose Mourinho, amesisitiza ya kuwa Martial asimsikilize wakala wake na badala yake amsikilize nini anachokisema yeye.

Martial jana aliiongoza United kupata ushindi wa 2-1 na kusogea mpaka kuwa na pointi 36 huku Martial akifunga moja ya magoli hayo.

Anthony Martial

Martial, 21, alisajiliwa mwaka 2015 akitokea Monaco na kuwa mfungaji bora wa msimu uliopita kwenye timu ya Manchester United akiiubka na magoli 17.

 Wakala wa Martial amekuwa akifanya mazungumzo na mabingwa wa kombe la EUROPA, sevilla juu ya Martial kujiunga nayo.

Lakini tangu amekuwa akipewa nafasi na Mourinho, Martial amekuwa akifanya vizuri kiasi cha kumshawishi abatilishe maamuzi yake.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top