SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: NDIDI WA GENK ASAINI KANDARASI YA MIAKA MITANO LEICESTER CITY
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya England, Leicester City wamekamilisha dili la kumsajili mchezaji wa KRC Genk, Wilfred Ndidi. Ndid...

MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya England, Leicester City wamekamilisha dili la kumsajili mchezaji wa KRC Genk, Wilfred Ndidi.

Ndidi, 20, raia wa Nigeria amesaini kandarasi ya miaka mitano na nusu ya kuitumikia klabu ya Leicester.

Mchezaji huyo anatarajia kuja kuziba pengo la Kante ambaye alitimkia Chelsea Julay ya mwaka jana.

Ndidi ameisaidia Genk kufuzu kwenye hatua ya 32 ya EUROPA huku akiisaidia timu yake kwenye ligi ya Ubelgiji.

Mambo mengine juu ya mkataba wake watawekwa hadharani baada ya kumaliza vipimo vya afya atakavyokuwanavyo kwenye wiki hii kama ilivyoripotiwa na mtandao rasmi wa klabu.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top