
VIUNGO,
Maruan Fellain pamoja na Juan Mata ndio walioamua kuipeleka Manchester United
kwenye hatua ya fainali baada ya kupachika magoli mawili. Kwa nunge dhidi ya
klabu ya Hull City.
Ukiachilia mbali kombe la
ngao ya hisani ambapo Manchester United iliitandika Leicester, hii inakuwa
fainali ya pili kwa Mourinho tangu aanze kuifundisha ManU.

ManU sasa watasubiri
matokeo kati ya Liverpool watakaokuwa na kibarua kizito cha kuwakabili
Southampton leo kwenyw uwanja wa St,
Mary’s.
Post a Comment