SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: TEVES SASA RASMI AJIUNGA NA SHANGHAI SHENHUA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Manchester United na Mancity, Carlos Teves amejiunga rasmi na timu ya Shanghai ya nchini China. Te...
Carlos Tevez


MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Manchester United na Mancity, Carlos Teves amejiunga rasmi na timu ya Shanghai ya nchini China.

Teves, 32 aliyekuwa anakipika katika klabu ya Boca Juniors, amejiumga na Shanhgai licha ya mkataba wake kutokuwekwa wazi na timu hiyo.

Shanghai, waliowahi kufundishwa na kocha wa zamani wa klabu ya Brighton, Gus Poyet, aimeripoti kukubaliana na Teves kwa dili la £40m huku akitarajiwa kulipwa £310,000 kwa wiki.

Uongozi wa Boca Junior umemtakia maisha mema huko Teves aendako na kuongeza kuwa bado wanaheshimu mchango wake klabuni.

Tevez amecheza kwa misimu 7 katika ligi ya EPL na kushinda mataji kwa pande zote za Manchester.
Teves pia alifanikiwa kutwaa kombe la UEFA mwaka 2008 akiwa na Manchester United kabla hajaihamia Juve mwaka 2013 ambako pia alitwaa Serie A mara mbili.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top