
LIVERPOOL
wamerejea kwenye nafasi ya pili baada ya kuibamiza Stoke City, ushindi mujarabu
wa bao 4-1,
Awali, nafasi hiyo
ilikuwa ikishikiliwa na Manchester City ambao walipata ushindi wa bao 3-0 dhidi
ya Hull kwenye mchezo wa jana na kufikisha pointi 39.
Ushindi wa Liverpool
unaifikisha liver kwenye nafasi ya pili huku wakiwa na pointi 40, pointi sita
nyuma ya vinara wa ligi hiyo, Chelsea.
Magoli ya Liverpool
yamewekwa kambani na Lallana, Firmino Srurrige na Imbula Wanga kujifunga wakati
goli pekee la Stoke likifungwa na Walters.
Post a Comment