SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: LIGI KUU YA VPL KUENDELEA LEO KWA MICHEZO MIWILI.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
MZUNGUKO wa 18 wa VPL utaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa viwanja tofauti. Katika uwanja wa Uhuru, jijini dar es salaam,...


MZUNGUKO wa 18 wa VPL utaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa viwanja tofauti.

Katika uwanja wa Uhuru, jijini dar es salaam, vinara wa ligi hiyo, wekundu wa msimbazi Simba, watakuwa wageni wa Ruvu shooting mchezo unaotarajia kuanza saa kumi za jioni.

Katika dimba la Chamanzi complex, pembeni kidogo mwa jiji la Dar, wanatam tam, Azam FC watakuwa na kibarua kizito cha kuchuana na wajerajera, Tanzania Prisons ya jijini Mbeya.

Azam watakuwa na kibarua kigumu huku wakiwa na kumbukumbu ya kutoka kulitimua benchi lao la ufundi lililokuwa na makocha wa kihispaniola.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top