SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: FARIDI MUSSA MAMBO SAFI, SASA KUKWEA PIPA KUELEKEA HISPANIA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya kukaa kwa muda mrefu asijue nini kinachoendelea, Faridi Muussa sasa anataria kuondoka nchini kuelekea Hispania ili kujiunga...
farid-musa-10


BAADA ya kukaa kwa muda mrefu asijue nini kinachoendelea, Faridi Muussa sasa anataria kuondoka nchini kuelekea Hispania ili kujiunga na klabu ya Tenerife ya ligi daraja la kwanza, [Segunda Devision]

Afisa habari wa klabu ya Azam FC amelithibitisha hilo kwa kuonyesha tiketi atakayoitumia Faridi kwenye safari yake ya kesho.

img-20161227-wa0041



“Kama mtakumbuka tuliwaambia Farid Musa taratibu zake zinakwenda vizuri, aliitwa ubalozini akapeleka passport yake na mkataba wake na Azam FC. Ninapoongea na ninyi ni kwamba, klabu ya Tenerife ya Spain imetuma tiketi ya ya Farid Musa ambapo anatarajiwa kuondoka tarehe 28 (kesho) kuelekea Spain kujiunga na klabu yake,” anasema Jafar Idd wakati akizungumza na waandishi wa habari.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top