Habari za Asubuhi mpenzi msomaji, karibuni tena katika kurasa za michezo na burudani zilizo magazetini leo hii ikiwa ni siku ya Ijumaa 14 oct 2016.
Taifa leo hii linaazimisha miaka 17 tangu kifo cha Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalim Julius Kambarage Nyerere alipofariki katika Hospitali ya Mt. Thomas nchini Uingereza. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. AMEN











Post a Comment