Klabu hiyo ya
Bundesliga ilitangaza siku ya Jumatatu kwamba kiungo huyo wa kati hakujiunga nao
wakati wa mazoezi yao huko Austria kabla ya kuanza kwa msimu ujao na kwamba
alisalia Manchester.
Mkufunzi wa klabu ya
Man City Pep Guardiola alithibitisha mnamo tarehe 21 mwezi Julai kwamba alitaka
kumsajili Sane.
Mchezaji huyo mwenye
umri wa miaka 20 aliisaidia Ujerumani kufika nusu fainali za Euro2016, baada ya
kucheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa mnamo mwezi Novemba.
Alimwambia mkurugenzi
wa michezo katika klabu hiyo Christian Heidel kwamba alitaka kuondoka katika
klabu hiyo.
Post a Comment