Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars Mbwana Allly Samatta azidi kuchanja mbuga kuikaribia ligi ya UEFA EUROPA baad ya klabu yake ya Genk kushinda goli 2-1 dhidi ya klabu ya Ireland Cork City.
Ushindi huo unaifanya klabu ya KRC Genk kufuzu kwa jumla ya go,i 3-1 baada ya Genk kushinda katika mchezo wa awali kwa goli 1-0 dhidi ya klabu hiyo ya Ireland.
Post a Comment