SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: Muethiopia Ayana atwaa dhahabu na rekodi Rio
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
RAIA  wa Ethiopia Almaz Ayana ameishindia Afrika dhahabu ya kwanza Michezo ya  Olimpiki mjini Rio na kuvunja rekodi ya ...
Almaz Ayana








RAIA wa Ethiopia Almaz Ayana ameishindia Afrika dhahabu ya kwanza Michezo ya Olimpiki mjini Rio na kuvunja rekodi ya dunia mbio za mita 10000 wanawake.
Ayana aliwaacha nyuma wapinzani wake mbio zikiwa katikati na kuendelea hadi mwisho, muda wake ukiwa dakika 29 sekunde 17.45.
Rekodi ya awali ilikuwa 29:31.78 na iliwekwa na Mchina Wang Junxia mwaka 1993. Mkenya Vivian Cheruiyot ameshinda fedha naye raia mwingine wa Ethiopia Tirunesh Dibaba akachukua shaba.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top