Wawrinka, 31,
amepatikana na majeraha katika mashindano ya Rogers Cup na hivyo kufanya
mchezaji aliye ndani ya top ten ya viwango vya tenisi duniani kutokushiriki
katika mashindano ya Olympic. Roger Federer,
Tomas Berdych, Milos Raonic na Dominic Thiem nao pia wamejiengua katika
mashindano hayo.
‘‘Nilitaka
kushuhudia na kushiriki kwa mara ya tatu sasa, lakini ndo haiwezekani tena”
Alisema Wawrinka. Kuumia kwa Wawrinka ni pigo baada ya mcheza tenisi nambari
tatu ulimwenguni na mshindi wa medali ya shaba mwaka 2012 aliyejitoa baada ya
maumivu ya goti.
Mcheza
tenisi nambari saba Milos Raioni na mcheza tenisi nambari nane Berdych wote walijitoa
kwa hofu ya virusi vya zika.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment