SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: HUENDA SOLDADO AKAKAA NJE YA UWANJA KWA MIEZI SITA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
  Mshambuliaji wa klabu ya Villareal, Roberto Soldado atakaa njee kwa jumla ya miezi sita baada ya kupata majeraha ya mifupa huku i...


 Roberto Soldado could miss up to six months of action after injuring his cruciate ligament during a pre-season friendly

Mshambuliaji wa klabu ya Villareal, Roberto Soldado atakaa njee kwa jumla ya miezi sita baada ya kupata majeraha ya mifupa huku ikiwa imebaki wiki moja kuanza kwa msimu mpya wa ligi.

Soldado,31, aliyejiunga na klabu ya Villareal ya Hispania mwaka jana baada ya kuachwa na timu ya Totenham ya Wingereza, alianguka vibaya wakati wa mechi ya kirafiki dhidi ya klabu ya FC Portoya Uren, mchezo uliochezwa siku ya jumamosi.

Soldado anatarajiwa kufanyiwa upasuaji ambao huenda ukamweka nje ya uwanja kwa takribani miezi sita

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top