SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: EVERTON YAIKOSA SAINI YA WILLIAMS WA SWANSEA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya soka ya Swansea City imekataa dau la pauni milioni 10 lilitolewa na klabu ya Everton ili kuweza kumsajili beki Ashley Williams...

Klabu ya soka ya Swansea City imekataa dau la pauni milioni 10 lilitolewa na klabu ya Everton ili kuweza kumsajili beki Ashley Williams.
Taarifa kutoka uongozi wa klabu hiyo zinasema, beki huyo raia wa Wales ambae pia ni nahodha wa Swansea alikua anakaribia kufika makubaliano ya mwisho kwenda Goodison Park kujiunga na Everton.
Williams ambae atafikisha miaka 32 mwezi huu anamkataba na timu yake unaomalizika mwaka 2018, msemaji wa klabu hiyo anasema hawako tayari kumuuza beki huyo.
Beki huyo ameichezea timu yake zaidi ya michezo 300 alisajiliwa kwa kiasi cha pauni 300,000 toka klabu ya Stockport mwaka 2008.

Everton wanasaka saini ya beki huyo ili kwenda kuziba pengo litakaloachwa na mlinzi wao mahiri John Stones anayehusishwa kutaka kujiunga na matajiri wa jiji la Manxhester, klabu ya Manchester City.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top