SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: Diego Costa huenda akarejea alikotoka
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha wa Chelsea Antonio Conte hana hakika juu ya majaliwa ya mshambuliaji Diego Costa, wakati vyombo vya habari nchini Uhispania viki...


Kocha wa Chelsea Antonio Conte hana hakika juu ya majaliwa ya mshambuliaji Diego Costa, wakati vyombo vya habari nchini Uhispania vikiripoti kuwa mshambuliaji huyo huenda akarejea katika klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid.

Kamba ya Costa raia wa Hispania kwa kocha mpya wa klabu ya Chelsea ni kama hapewi nafasi kubwa kuendelea kuwapo kwenye kikosi cha Chelsea na ndio maana waandishi wengi wa habari wamekuwa wanaripoti juu ya urejeaji wake kwenye klanu yake ya zamani ya Atletico Madrid.

Lakini pia hata uongozi wa klabu ya Atletico, umeonesha nia ya kutaka kumrudisha mshambuliaji wao ili aweze kujumuika nao huku mshambuliaji mwingine raia wa Hispania Torres akiwa anahusishwa na kuihama klabu hiyo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top