SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: Alex Oxlade-Chamberlain Atakuwa na Msimu Bora; Arsene Wenger.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mkufunzi wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amesema Alex Oxlade-Chamberlain atakuwa na msimu bora baada ya kuwa na msimu mredu wa majera...

Alex Oxlade-Chamberlain

Mkufunzi wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amesema Alex Oxlade-Chamberlain atakuwa na msimu bora baada ya kuwa na msimu mredu wa majeraha uliomuweka nje ya michuano ya EURO2016.

Oxlade-Chamberlain 22, alishinda goli wakati klabu yake ya Arsenal iliposhinda goli 3-1 dhidi y0000a Chivas de Guadalajara huko nchini Marekani, katika michezo ya kirafiki.
Chuba Akpom pamoja na Rob Holding, aliyejiunga na Arsenal mwezi Julai, pia walishinda katika mchezo huo.

Mkufunzi wa washika mitutu wa London, Wenger amesema, anaamini Oxlade       Chamberlain atakuwa na msimu bora pale ligi itakapokuwa imeanza rasmi na atatoa mchango mkubwa kwenye kikosi chake.

 Oxlade-Chamberlain amekuwa nje kwa muda mrefu nah ii yote imekuwa inasababishwa na majeraha ya mara kwa mara lakini tangu arsenal wamekuwa na michezo ya kirafiki, Chamberlain amekuwa ni sehemu ya kikosi cha Arsene Wenger.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top