Kocha huyu anachukua nafasi iliyoachwa na Gerardo
"Tata" Martino aliyejiuzulu baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe
la Copa America walipokubali kipigo cha mikwaju ya penalty dhidi ya Chile
AFA walimtangaza kocha huyo baada ya klabu ya Sao Paulo
kukubali kumuachia kocha huyo kwenda kukinoa kikosi cha timu ya taifa ya
Argentina.
Bauza, mwenye umri wa miaka 58, alikua kocha mkuu wa
klabu ya Sau Paulo toka mwaka 2015 na kuisaidia kufika nusu fainali ya michuano
ya Copa Libertadores, hivyo ataiongoza Argentina katika kampeni za kusaka
tiketi ya kombe la dunia la 2018 bila ya staa wa taifa hilo Lionel Messi
aliyejiuzulu baada ya kumalizika kwa Copa America.
Makocha waliokua wakipewa nafasi ya kukinoa kikosi hicho
ni Jorge Sampaoli Marcelo Bielsa pamoja na Diego Simeon na Mauricio Pochettino.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- SADIO MANE NA WENZAKE WAIADHIBU EVERTON, WAPAA HADI NAFASI YA TATU.01 Apr 20170
LIGI kuu nchini England imerejea tena kwa kasi ambapo leo kwenye mchezo wa awali ulikuwa ukiwak...Read more »
- AHMAD AMBWAGA HAYATOU KWENYE NAFASI YA URAISI WA CAF.16 Mar 20170
RAIS wa chama cha soka nchini Madagascar Ahmad Ahmad ameushtua ulimwengu wa soka baada ya ku...Read more »
- VIDEO; GOLI LA DAKIKA YA 89 LILILOWATOA UGANDA AFCON22 Jan 20170
USIKU wa January 21 2017 wawakilishi pekee wa ukanda wa Afrika Mashariki katika michuano ya mat...Read more »
- ROONEY APIGA GOLI LA 250, AVUNJA REKODI YA SIR BOBBY CHARLTON21 Jan 20170
BAADA ya kuifikia rekodi ya Sir Bobby Charltony ya mfungaji bora wa muda wote, leo Rooney ana...Read more »
- VAN GAAL AIBUKA NA KUKANUSHA TAARIFA ZA KUSTAAFU KWAKE.18 Jan 20170
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, aliyekuwa kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United,...Read more »
- SARE ZATAWALA AFCON15 Jan 20170
MASHINDANO ya AFCON yanayoendelea huko nchini Gabon, yamezidi kushika kasi baada ya kushuhudi...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.