SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: Mbwana Ally Samatta aipatia GENK goli.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Jana usiku Juni 14, nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally Samatta alifunga goli kwenye mchezo wa hatua za aw...






Jana usiku Juni 14, nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally Samatta alifunga goli kwenye mchezo wa hatua za awali kuwania kucheza Europa Ligue wakati Genk ikicheza dhidi ya Buducnost Podgorica.
Mchezo huo ulimalizika kwa Genk kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 huku Samatta akiwa amefunga bao la pili dakika ya 79 huku baada ya Neeskens Kebano kufunga bao la kwanza dakika ya 17 kwa mkwaju wa penati.

Huu ni mchezo wa raundi ya pili ya michuano ya UROPA na mchezo wa marudiano utafanyika tarehe 21 ya mwezi was saba.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top