
Mcanada anayeshikilia namba saba katika viwango vya tebisi
duniani, Milos Raonic amejitoa kushiriki katika mashindano ya Olympics
yanayotarajiwa kufanyika nchini Brazil mwezi agosti sababu iliwa ni tishio la
virusi vya ZIKA ambavyo vimekuwa ni tishio kubwa sana.
Raonic mwenye umri wa miaka 25, alifungwa na Andy Murray
katika michuano ya Wemblydom iliyomalizika jumapili iliyopita.
‘‘Ninafanya haya maamuzi kwa sababu mbalimbali za kiafya
ikiwemo hii hali ya ZIKA ambayo imekuwa ni tatizo sana” Alisema Raonic.
Zaidi ya wachezaji wa kiume 20 wamejitoa katika mchezo wa
golf katika mashindano hayo sababu ikiwa ni virusi vya ZIKA.
Post a Comment