Aikosa tuzo huko MAREKANI

Na Charles kunji.
Tuzo
za BET zinaendelea kutolewa leo
usiku Los
Angeles Marekani ambapo
tuzo aliyokuwa akishindania Diamond Platnumz ya Best
International Act Africa ama
msanii bora wa kimataifa kutoka Afrika ilichukuliwa na DJ
Black Coffee wa South Africa.
Akiongea
na millard ayo Dakika 8 kabla ya tuzo kutolewa, Diamond
Platnumz akaongelea
matumaini yake juu ya tuzo hiyo ambayo ilikuwa ikishindaniwa na A.K.A, Black Coffee, Casper Nyovest (South Africa), Yemi
Alade, Wizkid (Nigeria), Mz Vee (Ghana)
na Serge Beynaud (Ivory Coast)
Lakini baada ya matokeo
Platnumz alisweza kukubali na kuahidi kuendelea kijituma ili siku moaj aweze
kuafanya vyema.
Tuzo nyingine kwa upande wan je
ya Africa zitatolewa leo usiku kwani zile za upande wa Afrika tayari zimekwisha
tolewa.
Nzuuuuuuuuuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ReplyDelete