SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: ROONEY APIGA GOLI LA 250, AVUNJA REKODI YA SIR BOBBY CHARLTON
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya kuifikia rekodi ya Sir Bobby Charltony ya mfungaji bora wa muda wote, leo Rooney anaivunja rekodi hiyo na kuandika rekodi y...


BAADA ya kuifikia rekodi ya Sir Bobby Charltony ya mfungaji bora wa muda wote, leo Rooney anaivunja rekodi hiyo na kuandika rekodi yake baada ya kuifungia United bao la kusawazisha dakika ya 90.

United walikuwa na kibarua kizito kurejesha goli alilojifunga Mata kipindi cha kwanza.

Sub alizofanya Mourinho, haswa ile ya Mata na kumuingiza Rooney, ilikuwa na tija baada ya kuisawazishia timu yake goli la dakika ya 90 na kuipa timu pointi moja.

Lakini kizuri Zaidi ni lile goli la Rooney ambalo linakuwa goli lake la 250 na hivyo kuwa mfungaji wa muda wote wa United.


 Kabla ya Rooney rekodi hiyo ilikuwa inashikiliwa na Bobby aliyekuwa ana magoli 249. Rooney bado ana nafasi kubwa sana ya kuendelea kuongeza gap kati yake yeye na Sir Bobby.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top