SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: YANGA YATWAA POINTI TATU MUHIMU DHIDI YA MAJIMAJI.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya kulazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya klabu ya Ndanda mjini Mtwara, klabu ya Yanga imeibandua klabu ya Majimaji ya Son...
img_0117


BAADA ya kulazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya klabu ya Ndanda mjini Mtwara, klabu ya Yanga imeibandua klabu ya Majimaji ya Songea goli 3-0 katika uwanja wa UHURU.

Yanga ilianza kuingia nyavuni dakika ya 35 ya kipindi cha kwanza na mfungaji Kaseke baada ya kumalizia mpira wa Msuva uliogonga mwamba katika adhabu ya penati.

Goli la pili na la tatu limefungwa na Amis Tambwe akifunga goli la pili dakika ya 75 kabla ya kuhitimisha ushindi wa goli 3 dakika ya 85.

Matokeo ya mechi nyingine
Mbeya City 1-2 Azam
Ruvu Shooting 1-0 JKT Ruvu
Mwadui FC 2-2 Stand Unied
Ndanda FC 0-0 Kagera Sugar


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top