SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: MANCHESTER DERBY, NI NANI ZAIDI YA NANI?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
  Manchester United v Manchester City, Jose Mourinho v Pep Guardiola. Maadui wakubwa wenye misimamo tofauti katika kariya ya mpir...


 Kevin De Bruyne, Marcus Rashford, Willy Caballero and Marouane Fellaini are all in contention for selection - but would they make your starting XI?


Manchester United v Manchester City, Jose Mourinho v Pep Guardiola. Maadui wakubwa wenye misimamo tofauti katika kariya ya mpira.

Timu zote mbili zikiwa na  asilimia 100 za kufanya vizuri msimu huu baada ya kufanya usajili wa maana, zinakutana wikiendi hii katika uwanja wa Old Trafford kuanzia majira ya saa tisa za jioni kwa saa za Africa mashariki wakiwa na imani ya kufanya vyema.

Lakini kueleka mchezo huo kama unataka kuchagua vikosi vya timu hizo vitakavyoanza siku ya mchezo huo utakumbana na ugumu kulingana na wachezaji wanaounda timu hizo.

Raheem Sterling au Marcus Rashford? David Silva au Wayne Rooney? John Stones au Eric Bailly? Ni maswali yanayobaki bila majibu.

Kama mdau wa mpira, chagua kikosi chako ukipendacho ukuiona kama kinafaa mjulishe na mwenzako halafu msubiri saa zipite ili siku rasmi ya mchezo huo ifike.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top