
Na Darius Deogratius.
TIMU za Real Madrid na Atletico Madrid, zimetupiliwa mbali rufaa zao za kufungiwa kusajili na FIFA kwa misimu miwili ijayo.
Hii ni breaking news tu na habari kamili tutakuwekea kwenye mtandao wako bora a www.petishi.blogspot.com.
Endelea kuwa nasi kwa matukio mbalimbali ya kimichezo.
Post a Comment