SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: JACK BUTLAND KUKAA NJE KWA MIEZI MIWILI.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
GOLIKIPA wa England na klabu ya Stoke City, Jack Butland huenda akakaa nje kwa zaidi ya miezi miwili baada ya kutakiwa kufanyiwa...


Jack Butland


GOLIKIPA wa England na klabu ya Stoke City, Jack Butland huenda akakaa nje kwa zaidi ya miezi miwili baada ya kutakiwa kufanyiwa upasuaji wa ankle wiki ijayo.

Butland, 23, had alifanyiwa upasuaji mwezi March baada ya kupata majeraha wakati England iliposhinda kwa jumla ya goli 3-2 dhidi ya timu ya taifa ya Ujerumani.

Jeraha hilo limerehjea tena na hajacheza mchezo hata mmoja tangu msimu mpya umeanza.

Stoke ililazimika kufanya usajili wa golikipa wa klabu ya Derby, Lee Grant sikun ya mwisho ya dirisha la usajili kutokana na hali hiyo ya Butland.

"Nitakuwa na upasuaji mdogo wa ankle siku ya jumatatu” Butland aliandika kwenye mtandao wa jamii.

"Badala ya kuendelea kucheza na kuweza kupata majeraha zaidi ya haya yatakayoniweka muda mrefu nje, ni bora nifanye hiki nilichokiamua kushirikiana na   daktari wangu” Alisema.

Shay Given 40, amecheza kila mchezo na anatarajiwa kuendelea kuitetea nafasi yake ya ugolikipa kwenye mechi zingine zijazo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top