
Klabu ya Leicester City, the fox imezawadiwa na mkurugenzi wa timu hiyo magari ya kifahari ikiwa ni kama zawadi ya kutwaa kombe la EPL msimu uliopita magari yakiwa na thamani ya pauni 110,000mil kila moja.
Kama ulipitwa na tukio hilo, basi hizi ni baadhi ya picha za magari hayo pamoja na wachezaji wenyewe.




Post a Comment