SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: ACACIA YATAJA SABABU ZA KUIKACHA STAND UNITED.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
SIKU chahche baada ya kampuni ya uchimbaji madini ya ACACIA ya mjini Shinyanga kutangaza kusitisha kuidhamini klabu ya Stand United, ...


Acacia 3

SIKU chahche baada ya kampuni ya uchimbaji madini ya ACACIA ya mjini Shinyanga kutangaza kusitisha kuidhamini klabu ya Stand United, sasa kampuni hiyo imeibuka na kuweka hadharani sababu zilizowapelekea kusitisha udahamini wao.

Ofisa habari wa kampuni hiyo Necta Foya ametaja kuwa, mvutano wa viongozi katika klabu hiyo ndiyo sababu kubwa iliyopelekea wao kuachana na Stand United.
“Mkataba wetu ulikuwa wa miaka miwili, kila baada ya mwaka mmoja tunafanya evaluation, kwahiyo wakati tunaevaluate kuna maeneo gani ambayohayakuwa sawa, 

 kuna vitu ambavyo vilikuwa havijafanyika ndani ya mkataba lakini vilevile kuna suala la changamoto ambazo zilikuwepo kwenye mambo ya uongozi”, Foya alikaririwa na Sports Extra ya Clouds FM.

“Kwahiyo kutokana na masuala mbalimbali, sisi ACACIA tukaona ni vizuri tuwaache hawa ndugu zetu wa Stand United kwasababu tumeshakaa nao na kuzungumza nao mara nyingi tu kwahiyo sio kitu ambacho tumekifanya ghafla”

“Tumewasaidia ili waweze kujisogeza kwa miezi mitatu wakati wanajipanga upya, tumewapa dola za Marekani 60,000 kwa upande huo ni kwamba tumeweka wazi kabisa na kuna hela nyingine ambazo tulikuwa tunatakiwa kulipa kama dola 27,000 ikiwa ni malipo ya mishahara ya wachezaji”


02 Sep 2016

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top