
KOCHA
mkuu wa timu ya Tanzania, Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi
ambacho kitaenda kuwavaa timu ya taifa ya Nigeria, The Super Eagles mapema
mwezi ujao.
Mkwasa ametaja
wachezaji 20 ambao wanatarajia kuingia kambini tarehe 28 na safari ya kuelekea
Lagos ikiwa imepangwa September mosi.
Mchezo huo wa kuwania kufuzu
fainali za mataifa ya Africa, ni wa kukamilisha ratiba kwani tayari trimu zote
mbili hazina nafasi ya kufuzu baada ya Misri kuibuka kidedea kwenye kundi hilo.
KIKOSI HICHO NI PAMOJA
NA:
MAKIPA:
Deogratius Munish
‘Dida’
Aishi Manula
Aishi Manula
MABEKI:
Mwinyi Haj Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr Shomari Kapombe
Andrew Vincent ‘Dante’Juma Mahadhi Kelvini Yondani David Mwantika
Mwinyi Haj Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr Shomari Kapombe
Andrew Vincent ‘Dante’Juma Mahadhi Kelvini Yondani David Mwantika
VIUNGO:
Himid Mao Ibrahim Rajab JonasN Mkude Mzamiru Yassin Jonas Mkude
Himid Mao Ibrahim Rajab JonasN Mkude Mzamiru Yassin Jonas Mkude
WASHAMBULIAJI:
Jamal Mnyate Ibrahim AjiShiza Kichuya Farid Mussa
Mbwana SamattaSimon Msuva John Bocco
Mbwana SamattaSimon Msuva John Bocco
Post a Comment