SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: HAYA NDIYO MAKUBALIANO YA KLABU YA SIMBA NA MO.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya mazungumzo ya muda wa siku mbili kati ya viongozi wa klabu ya Wekundu wa Msimbazi, Simba na mkurugenzi wa makampuni ya Moha...


BAADA ya mazungumzo ya muda wa siku mbili kati ya viongozi wa klabu ya Wekundu wa Msimbazi, Simba na mkurugenzi wa makampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL) Bw. Mohammed Dewji na kujadili namna ya kuiendesha klabu hiyo kwa mfumo mpya wa hisa na kuachana na mfumo wa zamani wa uanachama, huu hapa ni mwongozo wa klabu ya Simba juu ya nini walichokubaliana kuhusu namna ya kuiendesha timu hiyo.


Simba-makubaliano-1

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top