SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: NATAKA KUMWONA DELLE ALLI AKIENDELEA KUWA MWIBA: POCHETTINO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
BAADA ya kuwa na mwendelezo mzuri wa kufunga kila mechi, kocha wa klabu ya Tottenham Spurs Mauricio Pochetino amemwambia Delle Alli ...


BAADA ya kuwa na mwendelezo mzuri wa kufunga kila mechi, kocha wa klabu ya Tottenham Spurs Mauricio Pochetino amemwambia Delle Alli aendelee kuwa mwiba awapo ndani ya box la wapinzani.

Wakiwa wanajiandaa kuwakabili West Brom katika dimba la white hart Lane, Pochettino amemsisitizia Delle kuwa na mwendelezo wa makali yake ili wazidi kuwanyemelea wale walio kileleni mwa ligi hiyo.

Delle amefanikiwa kupachika mabao 7 ndani ya mechi 4 alizoanza na kuwavutia mabosi wa vilabu vya Hispania kutaka kupata kandarasi yake.

“Sasa amekuwa na napenda mchezaji kuwa kama vile nafikiri kuwa mshindani ni jambo la msingi kwani watu watakuheshimu sitaki kutumia maneno ambayo baadaye mtakuja kuyabadili,” Alisema Pochettino

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top