SPORTS

 

Unknown Unknown Author
Title: LIVERPOOL YAWEKA BIKWAZO USAJILI WA BENTEKE KWENDA CRYSTAL PALAVE.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KLABU ya soka ya Liverpool imekataa ofa ya Paundi milioni 30 kumuachia mchezaji wake Christian Benteke kujiunga na Crystal Palace. K...
Christian Benteke

KLABU ya soka ya Liverpool imekataa ofa ya Paundi milioni 30 kumuachia mchezaji wake Christian Benteke kujiunga na Crystal Palace.
Kiasi cha Paundi milioni 23 sambamba na ongezeko la Paundi milioni 7 lilitolewa na Crystal Palace baada ya kukataliwa kwa Paundi milioni 25.
Benteke mwenye miaka 25, amekosa namba mbele ya kocha Jurgen Klopp aliyeingia Klabuni hapo Oktoba mwaka jana huku akianza katika michezo nane tu ya ligi kuu.
Benteke alijiunga na Majogoo hao kwa ada ya Paundi milioni 32.5 mwezi Julai 2015 chini ya kocha wa zamani Brendan Rodgers huku akifunga magoli kumi.
Benteke ameonyesha matamanio ya kuondoka kama tu hayupo kwenye mipango ya Klopp.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top